Baadhi ya wanafamilia ya Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, marehemu Jaji Zubeir Juma Mzee, wakipokea nasaha za pole kutoka kwa Balozi Seif (hayupo pichani), alipofika kutoa mkono wa pole.
Wanafamilia ya marehemu Jaji Zubeir Juma Mzee, wakitafakar jambo wakati wa kupokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi Kijijini kwao, Mbuzini, Wilaya ya Magharibi “A”.(Picha zote na Hassan Issa – OMPR – ZNZ)




No comments:
Post a Comment