Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania,
Mhe. Job Ndugai (kulia) akiongea na Rais wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam,
Mhe. Truong Tan Sang (hayupo pichani) leo mara walipokutana kwa ajili ya
mazungumzo katika Hoteli ya Kilimanjaro 10 Machi, Jijini Dar es Salaam.
Anayemfuatia ni Naibu Spika wa Bunge hilo, Mhe. Dkt. Tulia Ackson.
|
No comments:
Post a Comment