TANGAZO


Sunday, December 6, 2015

Umoja wa Mabunge wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) wakutana leo Jijini Dar es Salaam

Mweka Hazina wa Umoja wa Mabunge wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Request Muntanga (Zambia) akiongoza kikao cha Bajeti cha Umoja huo kilichokutana leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Dkt. Thomas Kashililah ambae pia ni Katibu wa Umoja huo Afrika. 
Mweka Hazina wa Umoja wa Mabunge wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Request Muntanga (Zambia) akipitia Jarida la Umoja huo wakati wa kikao cha Bajeti cha Umoja huo kilichokutana leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Dkt. Thomas Kashililah akijadili jambo na msaidizi wake Ndg. Demitrius Mgalami wakati wa kikao cha Bajeti cha Umoja huo kilichokutana leo Jijini Dar es Salaam. 
Mwenyekiti wa Kamati tendaji ya Umoja wa Mabunge wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Lindiwe Maseko (Afrika Kusini) akifafanua jambo wakati wa wa kikao cha Bajeti cha Umoja huo kilichokutana leo Jijini Dar es Salaam. (Picha Lawrence Raphaely, Bunge)

No comments:

Post a Comment