![]() |
Wafanyakazi wa Vodacom,Kana ya Kaskazini wakisikiliza kwa makini maelezo ya Lisa Wolker (hayupo pichani).
|
![]() |
Baadhi ya Kompyuta zilizotolewa na Kampuni ya Vodacom kama msaada wa shule ya sekondari ya Shimbwe iliyopo wilayani Moshi vijijini.
|
![]() |
Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kaskazini ,Henry Tzamburakisi akizungumza jambo na mkuu wa shule ya sekondari Shimbwe, Jacob Costantine alipotembelea darasa la Kompyuta shuleni hapo.
|
![]() |
Mmoja wa wafanyakazi wa shirika lisilo la kiserikali la Learning Insync akijaribu kuunganisha nyaya katika darasa la kompyuta lilopo shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru wilaya ya Moshi vijijini.
|
![]() |
Lisa Wolker akitoa maelekezo kwa walimu na wanafunzi.
|
![]() |
Walimu na wanafunzi katika shule hiyo wakisikiliza kwa makini.
|
![]() |
Mafunzo juu ya matumizi ya Programu maalumu ya kufundishia na kujifunzia yakiendelea katika darasa la Kompyuta katika shule ya sekondari ya Shimbwe.
|
![]() |
Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kaskazini Tzamburakisi akielekeza jambo kwa wananfunzi.
|























No comments:
Post a Comment