TANGAZO


Tuesday, December 16, 2014

Waziri Ummy afanya ziara ya kushitukiza Kiwanda cha OK Plastic

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu kushoto akipata maelekezo mafupi toka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya OK Plastic Bw.Fadl Ghaddar wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kiwandani hapo jijini Dar es Salaam ili kujionea hali halisi ya kiwanda hicho katika kutunza mazingira, katikati ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Magdalena Mtenga.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu (katikati) akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Magdalena Mtenga wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda cha OK Plastic jijini Dar es Salaam, kulia ni Meneja wa Kiwanda hicho Bw. Martin Msamba.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu (katikati) akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Kitengo cha Uzingatiaji wa Usimamizi wa Mazingira toka Baraza la Mazingira (NEMC) wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda cha OK Plastic Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu (katikati) akisistiza jambo kwa  Meneja wa Kiwanda cha OK Plastic  Bw. Martin Msamba wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda cha OK Plastic jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Magdalena Mtenga.
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha OK Plastic ambao majina yao hayakuweza kupatikana wakionekana kufanya kazi katika mazingira ambayo si rafiki kwa afya zao.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu akitoa maelekezo kwa watendaji wa Baraza la Mazingira (NEMC) na uongozi wa kiwanda cha OK Plasdtic juu ya hatua za haraka za kuchukua ili kukabiliana na tatizo la uchafuzi wa mazingira jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu akitoa maelekezo kwa watendaji wa Baraza la Mazingira (NEMC) na uongozi wa kiwanda cha OK Plasdtic juu ya hatua za haraka za kuchukua ili kukabiliana na tatizo la uchafuzi wa mazingira jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu akitoa maelekezo kwa watendaji wa Baraza la Mazingira (NEMC) na uongozi wa kiwanda cha OK Plasdtic juu ya hatua za haraka za kuchukua ili kukabiliana na tatizo la uchafuzi wa mazingira jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Eliphace Marwa - Maelezo)

No comments:

Post a Comment