TANGAZO


Sunday, November 30, 2014

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi yapokea msaada wa Pikipiki 10 kutoka Dalbit Petrolium


Kamishina wa oporesheni na mafunzo  wa jeshi la polisi, Paulo Chagonja akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kupokea msaada wa pikipiki 10 aina ya boxes kutoka kwa Kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium ya nchini  kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani kupambana na swala zima la usalama barabarani. Katikati ni  Mwenyekiti wa kampuni  Hum Dalbit Petrolium Humprey Kariuki na Kushoto ni Mkurugenzi wa maswala ya Uhusiano wa Kampuni hiyo Magaret Mbaka.



Baadhi ya askari wa kikosi cha usalama barabarani wakiangalia  pikipiki aina ya boxes kati ya 10 zilizotolewa msaada na kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium nchini kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani kupambana na swala zima la usalama barabarani.Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es Salaam.



Kamishina wa oporesheni na mafunzo  wa jeshi la polisi Paulo Chagonja akijaribu kuendesha moja ya pikipiki aina ya boxes kati ya 10 zilizotolewa msaada na kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium nchini kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani kwa kupambana na waalifu wa makosa mbalimbali. Kulia aliyevaa koti ni Mwenyekiti wa kampuni hiyo Humprey Kariuki.


Kamishina   wa oporesheni na mafunzo  wa jeshi la polisi Paulo Chagonja akijaribu kuendesha moja ya pikipiki aina ya boxes kati ya 10 zilizotolewa msaada na kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium nchini kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani kwa kupambana na waalifu wa makosa mbalimbali. Kulia aliyevaa koti ni Mwenyekiti wa kampuni hiyo Humprey Kariuki.




Mwenyekiti wa Kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium nchini Hamphrey Kariuki akipongezana na Kamishina   wa oporesheni na mafunzo  wa jeshi la polisi nchini Paulo Chagonja  baada ya hafla ya kukabidhiana msaada wa  pikipiki 10 aina ya boxes  kwa jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani kuisha. Wapili kutoka kushoto ni Mkuu wa Usalama barabarani Mohammed Mpinga hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.



Baadhi ya askari wa kikosi cha usalama barabarani wakiangalia msaasa wa pikipiki 10 aina ya boxes zilizotolewa na kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium nchini kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani ilikupambana na  kubaini makosa mbalimbali. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment