TANGAZO


Sunday, November 30, 2014

Rais Kikwete alivyopokelewa kwa shangwe Ikulu

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwapungia wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu, Dar es Salaam jana, akitokea nchini Marekani ambako alifanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwapungia wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu, Dar es Salaam jana, akitokea nchini Marekani ambako alifanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili Ikulu jijini jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili Ikulu jijini jana.
Mjukuu wa Rais Kikwete, Aziza Ridhiwani Kikwete akimpokea kwa shangwe na kadi Babu yake na kisha kupiga naye soga mara
baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment