TANGAZO


Thursday, October 30, 2014

Rais Kikwete afungua Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya viongozi, wakurugenzi, wageni waalikwa na wafanyakazi wa Tme ya Utumishi Umma wakimsikiliza Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Maadhimiso ya miaka 10 ya Tume ya Umma lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto) pamoja na Makatibu Wakuu Kiongozi wastaafu, Matern Lumbanga (kulia) na Philemon Luhanjo. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment