TANGAZO


Tuesday, August 5, 2014

SHIRIKISHO LA MICHEZO YA WIZARA NA IDARA ZA SERIKALI (SHIMIWI)







TANZIA 
Marehemu Bi. Hamisa Mahanyu
Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) linasikitika kutangaza kifo cha Mwanamichezo Bi. Hamisa Mahanyu aliyekuwa mchezaji wa timu ya kamba ya wanawake ya Ofisi ya Rais, IKULU kilichotokea kwa ajali ya gari tarehe 04 Agosti, 2014 eneo la Sayansi – Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.
Mwili wa Marehemu unasafirishwa leo tarehe 05 Agosti, 2014 kwenda Lushoto kwa mazishi.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MPENDWA WETU HAMISA MAHANYU MAHALI PEMA PEPONI AMINA
Imetolewa leo tarehe 05 Agosti, 2014 
Moshi Makuka
KAIMU KATIBU MKUU - SHIMIWI

No comments:

Post a Comment