TANGAZO


Monday, April 7, 2014

TBC yawakutanisha wadau wa muziki wa dansi

Wadau wa muziki wa dansi wakiwa katika picha ya pamoja.

Wadau wa muziki wa dansi Asha Kigundula na mwandishi wa gazeti la mwananchi.
Baadhi ya wasanii wa bendi mbalimbali wakiwa katika mdahalo wa muziki wa dansi kutoka kushoto ni King Kiki, Juma Ubao, Mafumo Bilali 'Bombenga' Kassimu Mapili na Waziri.
Wadau wa muziki wa dansi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika mdahalo.

Baadhi ya wadau wa muziki wa dansi wakiwa katika meza kuu. Kushoto ni Mwani Nyangasa, Rose Chitala na kulia ni Muddy Muzungu.
Baadhi ya wadau wa muziki waliojitokeza katika mdahalo wa muziki wa dansi kutoka kushoto ni , Deo Mutta Mwanatanga, Taasisi Masela na  Super Nyamwela wa Extra Bongo. (Picha zote na www.burudanm.blogspot.com)
Mwani Nyangasa (kulia) akiwa na Richard Mangustino.

No comments:

Post a Comment