TANGAZO


Friday, December 13, 2013

UNESCO yajadili Mkakati wa Mawasiliano kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika

Ofisa Mkuu wa UNESCO Dar es Salaam, Bw. Abdoul Wahab Coulibaly akitoa hotuba kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi katika ufunguzi wa semina ya siku mbili inayohusu Mkakati wa Mawasiliano wa UNESCO kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika iliyofanyika jana, jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Ndugu Selestine Gesimba akitoa Hotuba ya ufunguzi   katika Semina ya siku mbili inayohusu Mkakati wa Mawasiliano wa UNESCO kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa semina ya siku mbili inayohusu Mkakati wa Mawasiliano wa UNESCO kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mshauri wa masuala ya Utamaduni na Maendeleo kutoka shirika la UNESCO akitoa mada iloyohusu Utamaduni na Maendeleo katika Urithi wa Dunia wakati wa semina ya siku mbili inayohusu Mkakati wa Mawasiliano wa UNESCO kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa semina ya siku mbili inayohusu Mkakati wa Mawasiliano wa UNESCO kuhusu Urithi wa Dunia katika Kanda ya Afrika iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi. (Picha zote na WHVUM)

No comments:

Post a Comment