TANGAZO


Monday, November 4, 2013

Rais Kikwete auaga mwili wa Jaji Hilary Mkate

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa Marehemu Jaji Mstaafu Hilary Mkate leo, Oktioba 4, 2013 Kinondoni, Dar es Salaam.
Rais Jakkaya Kikwete akimfariji Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva baada ya kuaga mwili wa marehemu Jaji Mstaafu Hilary Mkate leo, Oktoba 4, 2013 Kinondoni, Dar es Salaam. (Picha zote na Ikulu)

No comments:

Post a Comment