Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
Gharib Bilal (kushoto) akipata maelezo katika banda la Tanzania Youth Alliance
(TAYOA). Katikati ni Derick Mtavangu na kwa kwanza kushoto ni Elizabert Nkunda
ambapo kampeni ya nyota ya kijani kwa ajili ya uzazi wa mpango ilizinduliwa leo
jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
Gharib Bilal (kushoto) akipata maelezo katika banda la Tanzania Youth Alliance
(TAYOA). Katikati ni Derick Mtavangu na kwa kwanza kushoto ni Elizabert Nkunda
ambapo kampeni ya nyota ya kijani kwa ajili ya uzazi wa mpango ilizinduliwa leo
jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Ukimwi (TACAIDS) Dkt. Fatma
Mrisho akisisitiza kuzinduliwa upya kampeni ya kitaifa ya uzazi wa mpango
ijulikanayo kama “Nyota ya Kijani” ikiongozwa na kauli mbiu Fuata nyota ya
kijani upate mafanikio leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hussein Mwinyi akitoa
hotuba ya kumkaribisha Mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Gharib Bilal wakati wa kuzinduliwa upya kampeni ya kitaifa ya
uzazi wa mpango ijulikanayo kama “Nyota ya Kijani” ikiongozwa na kauli mbiu
Fuata nyota ya kijani upate mafanikio leo jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
Gharib Bilal (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa shirika linalojihususha na
uzazi wa mpango Valerie DeFillipo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya nyota ya
kijani kwa ajili ya uzazi wa mpango ileo jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
Gharib Bilal (kulia) akionesha zawadi aliyopewa yenye alama ya nyota ya kijani.
Katikati ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hussein Mwinyi na kwa kwanza
kushoto ni kampeni ya nyota ya kijani kwa ajili ya uzazi wa mpango ilizinduliwa
leo jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe.
No comments:
Post a Comment