
Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera

Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba

Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni

Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba

Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo

Mbunge wa Muleba akitoa maoni na kero za jimbo lake

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria.

Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba

Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba

Rais Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa maji

Rais Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wananchi wa Muleba baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji kwa wilaya hiyo

Mwananchi mwingine akitwishwa maji

Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara

Rais Kikwete akisalimia wananchi

Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba

Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente.

Rais Kikwete akifurahia ngoma katika ziara yake hiyo.

Umati wa wananchi wa Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete katika mkutano wake huo.

Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba.

Rais Kikwete akihutubia wana Muleba

Sehemu ya umati wa wananchi wa Muleba katika mkutanoni huo.

Rais Kikwete akiendelea kuongea na wananchi wa Muleba katika mkutano huo.

Umati wa wananchi wa Muleba ukiwa katika mkutano wa hadhara.

Umati wa wananchi katika mkutano huo wa hadhara wa Muleba.

Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu.

Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba.

Dua ikiombwa baada ya futari hiyo, wilayani Muleba.

Dua ikiombwa wakati wa futari hiyo mjini Muleba.

No comments:
Post a Comment