TANGAZO


Friday, July 26, 2013

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika shughuli mbalimbali Wilayani Muleba


Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera
Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba
Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo
Mbunge wa Muleba akitoa  maoni na kero za jimbo lake
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria.
Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba
Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa maji
Rais Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wananchi wa Muleba baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji kwa wilaya hiyo
Mwananchi mwingine akitwishwa maji
Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara
Rais Kikwete akisalimia wananchi
Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba
Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente.
Rais Kikwete akifurahia ngoma katika ziara yake hiyo.
Umati wa wananchi wa Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete katika mkutano wake huo.
Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba.
Rais Kikwete akihutubia wana Muleba
Sehemu ya umati wa wananchi wa Muleba katika mkutanoni huo.
Rais Kikwete akiendelea kuongea na wananchi wa Muleba katika mkutano huo.
Umati wa wananchi wa Muleba ukiwa katika mkutano wa hadhara.
Umati wa wananchi katika mkutano huo wa hadhara wa Muleba.
Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu.
Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba.
Dua ikiombwa baada ya futari hiyo,  wilayani Muleba.
Dua ikiombwa wakati wa futari hiyo mjini Muleba.
Wananchi wakiwa katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba.

No comments:

Post a Comment