TANGAZO


Tuesday, April 2, 2013

Waziri Mkuu Mizengo Pinda awafariji ndugu na jamaa za waliopoteza ndugu zao katika ajali ya kuporomoka machimbo mkoani Arusha


Waziri Mkuu akitia sahihi kitabu cha maombolezo.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kwenye msiba huo.

Baadhi ya majenenza ilimowekwa miili ya watu waliofukiwa na machimbo ya Moramu katika eneo la Moshono, mkoani Arusha 

leo.

Waziri Mkuu akipeana mkono na Askari wa Jeshi la 

Wananchi (JWTZ), alipotembelea eneo la tukio, machimbo ya 

Moramu katika eneo la Moshono, mkoani Arusha leo.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitembelea sehemu ya machimbo hayo leo.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipowasili mkoani Arusha leo, 

Kuwapa pole ndugu na jamaa ambao ndugu zao  wamefariki katika 

machimbo ya Moramu katika eneo la Moshono Mkoani Arusha, 

maporomoko hayo yametokea jana nakusababisha vifo vya watu 13 

na majeruhi wawili ambao mmoja ameruhusiwa na mwingine 

amelazwa katika Hospitali ya Maunti meru. (Picha zote na Chris 

Mfinanga)

No comments:

Post a Comment