Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Siasa, Mkoa wa Mjini na Wilaya za Amani na Mjini Unguja pamoja na viongozi mbalimbali walioalikwa katika mkutano huo, uliofanyika jana, ukumbi wa Ofisi ya Mkoa Amani, alipofanya ziara ya kuimarisha chama chake mkoani humo.
Meneja wa Benki ya Ushirika wa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Kikwajuni Saccos Benk, Abdulrahim Abdulrahman Khatib (kulia), akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, mara baada ya kuifungua Benki hiyo, jana alipokuwa katika ziara ya kuimarisha chama chake Mkoa wa Mjini Unguja. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Tatu Tawakal Khamis.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, akimakabidhi cheki ya sh. laki tatu, Fatma Makame Issa, akiwa miongoni mwa wanachama wa Kikwajuni Saccos Benki, waliobahatika kupatiwa mikopo baada ya uzinduzi rasmi wa saccos hiyo jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, akizungumza na wanachama wa CCM wa Kikwajuni
Saccos Bank, pamoja na waalikwa katika sherehe za uzinduzi wa
Benki hiyo jana huko Kisiwandui, Mjini Unguja, akiwa katika
ziara ya kuimarisha chama chake, Mkoa wa Mjini. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini, Borafya Silima Juma na kushoto ni Mwenyekiti wa Kikwajuni Saccos Bank, Tatu Tawakal Khamis.
Saccos Bank, pamoja na waalikwa katika sherehe za uzinduzi wa
Benki hiyo jana huko Kisiwandui, Mjini Unguja, akiwa katika
ziara ya kuimarisha chama chake, Mkoa wa Mjini. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini, Borafya Silima Juma na kushoto ni Mwenyekiti wa Kikwajuni Saccos Bank, Tatu Tawakal Khamis.
Vijana wa kikundi cha UB 40 cha Magomeni, Jimbo la Mpendae, wakitoa burudani wakati wa mkutano wa CCM, uliohutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Uwanja wa Kisonge jana, alipokuwa katika ziara ya kuimarisha chama chake, Wilaya ya Mjini Unguja.
No comments:
Post a Comment