Baadhi ya wadau waliohudhuria kikao hicho cha GS1 Tanzania, wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa. |
Makamu Mwenyekiti wa GS1 Tanzania, Yakub Hasham akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhuria kikao cha tatu cha washika dau na kikao cha pili cha mwaka cha GS1 Tanzania. |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Joyce Mapunjo akifafanua jambo juu ya umuhimu wa Barcodes katika kuinua soko la bidhaa nchini. |
Salum Awadh, akiwasilisha mpango mkakati wa GS1 Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2013-2018 kama Mtaalamu Mshauri ( Consultant) wa GS1 Tanzania. |
Mwenyekiti wa Amsha Institute of Rural Entrepreneur, Biubwa Ibrahim Malengo, akizungumzia mafanikio ya kikundi chake hicho, kutoka Lindi Vijijini. |
Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda akimkaribisha Waziri Mkuu kufungua kikao cha tatu cha washika dau katika Hotel ya Blue Pearl, Ubungo Plaza leo, Feb 27, 2013. |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia washika dau wa GS1 Tanzania, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo. |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa GS1 Tanzania kwa miaka 5. |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akionyesha kwa washika dau, mpango mkakati aliouzindua leo. |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akikata keki, mara baada ya kuuzindua mpango mkakati wa GS1 jijini leo. |
Wajumbe kutoka Zanzibar, wakifuatilia kwa makini yanayojiri kwenye kikao cha tatu cha washika dau na kikao cha pili cha mwaka cha GS1 Tanzania |
No comments:
Post a Comment