![]() |
Erasto Nyoni (4) wa Taifa Stars na Bedimo Henri wa Cameroon wakiwania kuudhibiti mpira katika mchezo huo. |
![]() |
Erasto Nyoni wa Taifa Stars na Bedimo Henri wa Cameroon wakiwania kuudhibiti mpira katika mchezo huo. |
![]() |
Erasto Nyoni wa Taifa Stars na Bedimo Henri wa Cameroon wakiwania kuudhibiti mpira katika mchezo huo, huku Salum Abubakar wa Stars, akikimbilia kwa ajili ya kutoa msaada. |
![]() |
Erasto Nyoni wa Taifa Stars na Bedimo Henri wa Cameroon wakiwania mpira huo.
|
![]() |
Nyoni wa Taifa Stars, akionekana kumzidi Henri wa Cameroon katika vita hiyo ya kuwania mpira huo.
|
![]() |
Tchami Herve (20) wa Cameroon, akiudhibiti mpira huku akiwekwa chini ya ulinzi mkali na Erasto Nyoni wa Taifa Stars. |
![]() |
Erasto Nyoni wa Taifa Stars, akiendelea kumdhibiti Tchami Herve wa Cameroon. |
![]() |
Erasto Nyoni (kulia) wa Taifa Stars na Eloundu wa Cameroon, wakikimbilia mpira kuelekea lango la Stars. |
![]() |
Salum Abubakar wa Taifa Stars, akimtoka Makoun Thierry (13) wa Cameroon, katika mchezo huo. |
![]() |
Eloundo wa Cameroon, akiudhibiti mpira huku akitafuta mbinu ya kumtoka Salum Abubakar wa Taifa Stars, nyuma yake. |
![]() |
Ubao wa matangazo hadi dakika ya 91, ulikuwa ukisomeka Tanzania 1, Cameroon 0 baada ya mchezaji Mbwana Samatta kuifungia timu hiyo bao katika dakika ya 88 ya mchezo huo. |
![]() |
Wachezaji wa Stars wakimshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kumalizika kwa mchezo huo na kufaniki kuilaza Cameroon bao 1- 0. |
![]() |
Wachezaji wa Stars, wakiwa wamemaliza kumshukuru Mungu, baada ya kumalizika kwa mchezo huo leo jioni, Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kufaniki kuilaza Cameroon bao 1- 0. |
![]() |
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe, akimpongeza Amri Kiemba wa Stars baada ya kumalizika mchezo huo jioni hii, Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. |
![]() |
Watanzania waliokuwepo Uwanja wa Taifa, wakifurahia ushindi huo, huku wengine wakinyanyua mabango waliyoandika ujumbe mbalimbali wa kusifu timu yao hiyo. |
No comments:
Post a Comment