![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuxSiSdg5ZPisWFCsgJfJ8lObtqtMqhaqZaGHQEJiSAl-EJZxtxUnRq-laHXB-9sgM__NT-LwKCFEC2FlNopbakKlC765EWqQIozbF8vBwNQBpaCOrqYWHFqWOjWZl2uu0Y172aak98_Q/s640/kb3.jpg)
Rais Mwai Kibaki wa Kenya akikata utepe, akishuhudiwa na mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli na Meya wa Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda, kuzindua rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, makutano ya barabara ya Bagamoyo na Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Rais Mwai Kibaki wa Kenya akifunua pazia, akishuhudiwa na mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli na Meya wa Kinondoni Mstahiki Yussuf Mwenda, akizindua rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, makutano ya barabara ya Bagamoyo na Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013
Rais Mwai Kibaki wa Kenya akifurahi pamoja na mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli na Meya wa Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda, baada ya kuzindua rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, makutano ya barabara za Bagamoyo na Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam, leo Februari 21, 2013.
Sehemu ya barabara iliyopewa rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, inavyoonekana maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Baadhi ya Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni, wakiwa katika hafla hiyo.
Wanamuziki wa bendi ya Vijana Jazz, wakitumbuiza wakati wa uzinduzi rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda, akimkaribisha Rais Mwai Kibaka na Mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika uzinduzi rasmi wa jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo katika hafla iliyofanyika makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Sehemu palipoandaliwa kwa uzinduzi rasmi wa jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda akimkabidhi zawadi ya kasha la Zanzibar, Rais Mwai Kibaki huku Mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia katika uzinduzi rasmi wa jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda akimkabidhi zawadi ya kasha hilo kutoka Zanzibar kwa Rais Mwai Kibaki huku Mwenyeji wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia, wakati wa uzinduzi rasmi wa jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mstahiki Yussuf Mwenda akimpa mkono Rais Jakaya Mrisho Kikwete, mara baada ya kumkabidhi Rais Mwai Kibaki zawadi ya kasha la Zanzibar, wakati wa uzinduzi rasmi wa jina la Barabara ya Mwai Kibaki, linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo, maeneo ya makutano ya barabara za Bagamoyo, Rashid Kawawa na iliyokuwa Old Bagamoyo, Dar es Salaam leo, Februari 21, 2013.
No comments:
Post a Comment