Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Irina Bokova (kushoto), akiangalia utamaduni wa ususi wa kindu, ambazo hutengenezewa vitu mbalimbali, ikiwemo makawa, mikeka na hata mikoba katika moja ya maduka, alioingia katika sehemu za Mji Mkongwe, ikiwa ni miongoni mwa ziara yake ya siku mbili kisiwani Zanzibar.
|
No comments:
Post a Comment