Mwanachama wa kikundi cha
Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi Mtumwa
(kushoto), akipokea fedha ikiwa ni mkopo uliotolewa na Kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa
Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya
Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri na kukabidhiwa na
Meneja wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia),huku Afisa wa
Vodacom Ally Mbuyu (wa pili akishuhudia). Makabidhiano hayo ya awamu
ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika kijijini Buigiri mkoani
Dodoma leo.
![]() |
| Mwanachama wa kikundi cha Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi Mtumwa (kushoto), akipokea fedha ikiwa ni mkopo uliotolewa na Kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI) |
Mwanachama wa kikundi cha
Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani
Dodoma, Diria Yaledi Mtumwa (kushoto)
akionesha fedha za mkopo alizokabidhiwa na kampuni ya simu ya mkononi ya
Vodacom kwa kupitia Mpango wa Uwezeshaji
kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Zaidi ya Sh. Milioni 17 zilitolewa kwa wanawake wa kijiji cha Buigiri,
mkoani Dodoma leo.
![]() |
| Maofisa wa Vodacom, wakiwa na wanawake wa Buigiri, mkoani Dodoma wakati wa hafla hiyo leo. |





No comments:
Post a Comment