TANGAZO


Wednesday, November 7, 2012

Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akagua kiwanja cha Makao Makuu ya Chama, ukarabati wa kumbi za mikutano Dodoma

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo juu ya ukarabati wa ukumbi wa mikutano wa 'White House' ulio katika Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma ambao unafanyiwa ukarabati mkubwa ili kukidhi mahitaji ya sasa. Rais Kikwete alisimama kwa muda mjini Dodoma jana, Jumanne Novemba 6, 2012, akitoka katika ziara ya kikazi ya Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida, alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua maandalizi ya ukumbi, utakaotumika wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM, ulio kwenye kitongoji cha Kizota mjini Dodoma. Rais Kikwete alisimama kwa muda mjini Dodoma jana, Jumanne Novemba 6, 2012 akitoka katika ziara ya kikazi Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua maandalizi ya ukumbi, utakaotumika wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM, maeneo ya Kizota mjini Dodoma. jana, Jumanne Novemba 6, 2012, akitoka katika ziara ya kikazi Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja.
Mafundi rangi wakiwa kazini kuweka mambo sawa nje ukumbi, utakaotumika wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM ulio kwenye kitongoji cha Kizota mjini Dodoma
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongiozi wengine wakipata maelezo toka kwa Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama juu ya maandalizi ya ujenzi wa Makao Makuu na vitega uchumi vya chama hicho, mjini Dodoma ambako. alisimama kwa muda jana, Jumanne Novemba 6, 2012 akitoka katika ziara ya kikazi Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja. (Picha zote na Ikulu)

No comments:

Post a Comment