Mwakilishi
wa Kampuni ya Safari Yetu, Arnold Minde akitoa mafunzo katika semina ya
shindano la mchanganuo wa biashara kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu iliyodhaminiwa na
benki ya CRDB na kufanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Kampuni ya KINU, John
Baretto Arnold
Minde akitoa mafunzo katika semina ya shindano la mchanganuo wa biashara kwa
wanafunzi wa Vyuo Vikuu iliyodhaminiwa na benki ya CRDB na kufanyika Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakiwa katika
mafunzo hayo.
Baadhi ya wanafunzi walipata nafasi ya kuuliza
maswali kuhusu mchanganuo wa biashara.
| Baadhi ya wanafunzi wa Elimu ya Juu, wakisikiliza mafunzo hayo yaliyoadhaminiwa na benki ya CRDB jijini leo. |
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mkutano huo wa mafunzo.

No comments:
Post a Comment