
Baadhi ya wachezaji na viongozi wa Yanga wakiwa ndani ya ukumbi wa Bungeni mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa nne kushoto waliosimama mstari wa mbele), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wachezaji wa timu ya Yanga, ambao walilipeleka Kombe la Ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Bungeni, mjini Dodoma leo. Kushoto kwake ni Mlezi na mdhamini wa Klabu hiyo, Mama Fatuma Karume. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment