TANGAZO


Friday, August 31, 2012

Mbuyi Twite mazoezini Yanga

 

Picha tofauti zikimuonesha beki mpya wa Mabingwa wa Soka wa Kombe la Kagame, Yanga, Mbuyi Twite akijifua na wenzake katika mazoezi ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania  Bara kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam leo.
 
 Twite akipokea maelekezo kutoka kwa kocha wa Yanga Tom Saintfiet.
 
Twite akifanya mazoezi kwenye viwanja hivyo na wenzake.
 Twite akipiga 'push-up' katika mazoezi yake ya kwanza akiwa na Yanga jijini Dar es Salaam yaliyofanyika leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya  Loyola, Mabibo Dar es Salaam.
 
Twite akifanya mazoezi kwenye viwanja vya Shule ya Sokondari ya  Loyola.
Twite akifanya mazoezi kwenye viwanja hivyo na wenzake.

No comments:

Post a Comment