Kamishna wa Sensa nchini, Hajjat Amina Mrisho, akitoa neno la utangulizi kwa wakufunzi wa Sensa kwa ngazi ya Kitaifa, wakati wa mafunzo ya siku 10, tayari kwa ajili ya kwenda kufundisha hatua za Mikoa. Mafunzo hayo yanaendeshwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mjini Dodoma. |
No comments:
Post a Comment