Bondia Rashidi Ali (kushoto), akioneshana kazi na Amnos Mwamakula wakati wa mpambano wao jana.
Bondia Obote Ameme (kulia), akioneshana kazi na Cosmas Cheka.
Bondia Miyayusho akisikiliza wimbo wa taifa wakati wa kuimba nyimbo za Mataifa mawili ya Tanzania na Malawi wakati wa mpambano huo jana.
Bondia John Masamba (kushoto), kutoka Malawi akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na Francis Miyeyusho wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es Salaam jana.
No comments:
Post a Comment