TANGAZO


Friday, May 4, 2012

Super Doll yazindua tairi mpya yenye ubora madhubuti


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Super doll, Seif Seif (kulia), akimuonesha Kaimu Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Johanes Kahatano, tairi la kisasa  la Michelin Energy XM2,  lililotengenezwa kwa ajili ya kuhimili barabara mbalimbali zikiwemo mbovu za Afrika Mashariki. Wakati wa hafla  ya uzinduzi wa uuzwaji wa tairi hizo, leo asubuhi, Hoteli ya Serena, jijini Dar esSalaam. Kushoto ni Meneja wa Kanda wa Michellin, Freddi Stoeffler. (Picha na mdau wetu)
Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Johanes Kahatano , akizungumza na waandishi wa habari, baada ya uzinduzi wa tairi hizo,  zenye ubora na madhubuti.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Super doll, Seif Seif (kulia) na Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama barabarani, Kahatano wakiwa na sanamu ya Michellin, iliyoshikilia aina ya tairi hizo.
Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Kampuni ya Super doll, Ibrahim Juma, akitoa shukrani kwa waandishi wa habari baada ya hafla hiyo kumalizika.
Mkurugenzi wa Super doll, Seif (kushoto) na Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kahatano, wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Super doll, Seif Seif, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa tairi hizo.

Sanamu ya Michellin, inayotumiwa na Kampuni ya kutengeneza matairi ya gari, ambayo Kampuni ya Super doll, ni wakala wake nchini. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Super doll, akifungua pazia ili kuzindua rasmi tairi hizo aina ya Michelin Energy XM2, jijini leo.
Freddi akielezea umadhubuti wa tairi hizo
Baadhi ya waandishi wa habari waiohudhuria kwenye uzinduzi huo leo asubuhi, wakiwa kwenye hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment