Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika tafrija fupi
(cocktail party), iliyoandaliwa na Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), mwishoni mwa wiki, wakifuatilia kwa umakini hatua mbalimbali za namna ya kuchanganya kinywaji aina
ya Smirnoff, ili kutengeneza cocktail kama ilivyokuwa ikielekezwa na Meneja wa Spiriti wa Kampuni hiyo, Emilian Rwejuna (wa pili kulia), wakati wa tafrija hiyo, mwishoni mwa wiki.
Monday, April 30, 2012
Serengeti Breweries yaandaa tafrija kwa wateja wake
Meneja wa Smirnoff, Benjamin Mariki (wa pili kulia), akikabidhi zawadi ya T-shirt ya Smirnoff kwa mmoja wa washiriki wa
tafrija fupi (cocktail party), iliyoandaliwa na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), kupitia kinywaji hicho, jijini Dar mwishoni mwa wiki. (Picha na Mpigapicha wetu)
Meneja wa Smirnoff, Benjamin Mariki (kulia), akikabidhi zawadi ya T-shirt ya Smirnoff kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya
Ericsson hapa nchini katika tafrija fupi (cocktail party), iliyoandaliwa na Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), kupitia kinywaji hicho, jijini Dar mwishoni mwa
wiki.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika tafrija fupi
(cocktail party), iliyoandaliwa na Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), kupitia kinywaji
cha Smirnoff kinachoingizwa na kusambazwa na kampuni hiyo hapa nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment