TANGAZO


Sunday, March 25, 2012

Tigo yamwaga baiskeli kwa walemavu


                                            Mchungaji Andrew Kajembe wa Kanisa la Anglican la Kololeni, akizungumza wakati wa kukabidhi baiskeli hizo kwa watu wenye ulemavu, leo viwanja vya Makumbusho ya Azimio la Arusha, mijini humo. (Picha na Mpiga picha Wetu) 


Elirusi Kaaya akikabidhiwa Baiskeli na Mstahiki Meya wa Arusha Gaudance Lyimo


                   Meya wa Arusha Gaudance Lyimo, akimkabidhi Robert Msele baiskeli zilizotolewa na Kampuni ya simu ya Tigo.

No comments:

Post a Comment