TANGAZO


Sunday, March 18, 2012

Mabondia Ramadhan, Ochiang wapima uzito kwa ajili ya kuzipiga leo


Mabondia Ramadhani Shauri wa Tanzania (kushoto) na Gabliel Ochiang wa Kenya wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito, Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika, leo katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini. (Picha na Super D, Mnyamwezi) 

Bondia Ramadhani Shauri (kushoto), akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Gabriel Ochiang wa Kenya.



Mabondia Ramadhani Shauli wa Tanzania (kushoto) na Gabliel Ochiang wa Kenya wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito, Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika leo katika ukumbi wa Friends Corner Manzese.



Baadhi ya mabondia pamoja na viongozi wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya mapambano yao yatakayofanyika Ukumbi wa Frienda Corner jijini leo.




Bondia Gabriel Ochiang wa Kenya, akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauri kushoto.

No comments:

Post a Comment