TANGAZO


Wednesday, February 1, 2012

Rais wa Mahakama ya Haki za binadamu amtembelea Kikwete

Rais Jakaya Kikwete akimsindikiza, Rais wa Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika, Jaji Gerald Miyungeko, aliyemtembelea jana baada ya kikao cha 18 cha Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa, Ethiopia. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment