
Kutoka kulia ni Emilian Rwejuna, Meneja Masoko (SBL),
Mark Tyro, Mkurugenzi wa Usambazaji, Ephraima Mafuru Mkurugenzi wa Masoko, Mgeni
rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko. Joyce Mapunjo, Mkurugenzi Mtendaji
wa (SBL), Richard Wells na kushoto ni Zohra Moore, Meneja wa Huduma IPP wakipozi
kwa picha huku wakiwa wameshikilia chupa mpya ya Serengeti Lager iliyo katika
muonekano wa Dhahabu.

Chupa mpya ya Serengeti Lager yenye muonekano wa wa
Dhahabu ikiibuka kutoka katika maji mara baada ya kuzinduliwa rasmi jana usiku.

Shamrashamra zikiendelea wakati nembo mpya ya bia ya
Serengeti Lager ikizinduliwa jana.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko B.
Joyce Mapunjo akizungumza katika uzinduzi huo

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya bia ya Serengeti
(SBL) Richard Wells akizungumza katika uzinduzi huo wakati alipomkaribisha mgeni
rasmi.

Ephraima Mafuru Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia
ya Serengeti akizungumzia mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika taifa
kupitia bia ya Serengeti Lager.

Mark Tyror Mkurugenzi wa Usambazaji kulia na
Ephraima Mafuru Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti wakionyesha
nembo mpya ya bia ya Serengeti Lager.

Mrembo wa Serengeti Lager akipozi kwa picha na huku
akionyesha Nembo mpya ya bia ya Serengeti Lager.

Mkurugenzi wa Usambazaji Mark Tyro kushoto akipozi
kwa picha na marafiki zake.

Kutoka kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya
bia ya Serengeti (SBL) Richard Wells, Ephraima Mafuru Mkurugenzi wa Masoko
kampuni ya bia ya Serengeti na Mwisho ni Meneja wa Mahusiano kampuni ya bia ya
Serengeti Nandi Mwiyombela.

Hapa ilibaki burudani tu.

Ephraima Mafuru Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia
ya Serengeti akiongea na mkurugenzi wa Extra Bongo Kamalade Ali Choki , kulia ni
Meneja Masoko wa (SBL) Emilian Rwejuna.

Hapa mzuka ukapanda kidogo lakini yote ilikuwa
burudani na uzinduzi wa muonekano wa Dhahabu katika burudani ileile ya Serengeti
Lager.

Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa katika uzinduzi
huo.

Kikundi cha ngoma za asili kikitoa burudani katika
uzinduzi huo.

Dada Ritah Mchaki Meneja wa bia ya Tusker (katikati),
akipozi na wadau kutoka kampuni ya bia ya Serengeti . (Picha na Mpigapicha wetu)
No comments:
Post a Comment