Mdau wa Sanaa akichangia kwa hisia kali wakati wa mjadala uliohusu matukio na matamasha mbalimbali ya Sanaa na burudani nchini kwenye Jukwaa la Sanaa.
Mkurugenzi wa Idara ya Mfuko na Uwezeshaji, BASATA, Angelo Luhala, aksisitiza jambo wakati alipokuwa akieleza haja ya wasanii kudai mikataba kabla ya kushiriki tukio au onyesho lolote la Sanaa.
No comments:
Post a Comment