Askari wa kutuliza ghasia (FFU), wakiwa katika ulinzi mkali huku mbele yao wakiwepo wanafunzi
walioshikilia mabango yao, yenye ujumbe mbalimbali kwenye viwanja vya Kidongo Chekundu, Dar es Salaam leo.
Kamanda wa Polisi Kanda
Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akimkaribisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kwenye
viwanja hivyo. (Picha na Othman Michuzi)
No comments:
Post a Comment