Jana wadau mbalimbali waliungana na GB Pazzo kusherehekea siku yake ya Kuzaliwa, ambapo katikati alikuwa ni Mgeni Rasmi ndug.Dede Petro ambae ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Kanda ya Ziwa na Kushoto ni Loyce Nhaluke kutoka Kampuni ya Uuzaji Sola ya M-Power.
Picha Zaidi BONYEZA HAPA

No comments:
Post a Comment