TANGAZO


Saturday, November 30, 2013

Wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava na washiriki Semina ya maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani iliyoandaliwa na Taasisi ya Benjamin William Mkapa

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, akizungumza wakati alipokuwa akimkaribisha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu kuifungua semina ya wasanii katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani, jijini Dar es Salaam leo. Simina hiyo, iliratibiwa na taasisi ya Montage. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, akizungumza na wasanii mbalimbali wa Bongo Movie na Bongo Flava wakati alipokuwa akiifungua semina yao hiyo, jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, akizungumza na wasanii mbalimbali wa Bongo Movie na Bongo Flava wakati alipokuwa akiifungua semina yao hiyo, jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, akizungumza na wasanii mbalimbali wa Bongo Movie na Bongo Flava wakati alipokuwa akiifungua semina yao hiyo, jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wasanii mbalimbali wakiwa katika semina hiyo, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, wakati alipokuwa akiifungua semina yao hiyo, jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wasanii mbalimbali wakiwa katika semina hiyo, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, wakati alipokuwa akiifungua semina yao hiyo, jijini Dar es Salaam leo.

Mtaalamu wa masuala ya ukimwi, Mrina Cyanus, akiwasilisha mada ya Ukimwi na Vijana wakati wa semina hiyo.
Baadhi ya wasanii mbalimbali wakiwa katika semina hiyo, waisikiliza mada kuhusu Ukimwi na Vijana, iliyokuwa ikiwasilishwa na Mtaalamu wa masuala ya ukimwi, Mrina Cyanus, wakati wa semina hiyo, jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia), akiteta jambo na Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakati wa semina hiyo jijini leo.  
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, akichangia mada ya 'Ukimwi na Vijana', mara baada ya kuifungua semina ya wasanii katika kuadhimisha Siku ya Ukimwi duniani, iliyoandaliwa na Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation kwa uratibu wa Kampuni ya Motage, Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Dk. Ellen Mkondya, Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga (kulia) na msanii wa maigizo, Aisha Amani 'Walonge'.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya (kulia) pamoja na wasanii, Salama salmin 'Sandra' (kushoto) na Aisha Amani 'Walonge' (wa pili kushoto), wakisikiliza mada juu ya Ukimwi na Vijana, iliyokuwa ikiwasilishwa na mtaalamu huyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya (wa pili kulia) pamoja na wasanii, Salama salmin 'Sandra' (kushoto), Aisha Amani 'Walonge' (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakisikiliza mada juu ya Ukimwi na Vijana, iliyokuwa ikiwasilishwa na mtaalamu huyo.

Baadhi ya wasanii hao wakisikiliza mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika semina hiyo. Kulia ni msanii Richie Richie.
Msanii wa Bongo Movie, Wastara (kushoto), akizungumza na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakati wa semina hiyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakimsikiliza msanii Wastara wakati alipokuwa akijitambulisha akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wataalamu wa taasisi hiyo, wakati wa semina hiyo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.

Rais Kikwete ahudhuria Mkutano wa EAC

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki, uliofanyika jijini Kampala Uganda leo. 
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Paul Kagame wa Rwanda, wakiwa katika Mkutano wa Jumiya ya Afrika Mashariki katika Hoteli ya Munyonyo, jijini Kampala leo. (Picha zote na Freddy Maro)

Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal aendesha zoezi la harambe ya kuchangia Mfuko wa Madawati, Maendeleo ya Elimu Jimbo la Nkenge

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi cheti, Mkurugenzi wa Kagera Sugar, Hamadi Yahaya, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake wa kuchangia Maendeleo ya Elimu ya Jimbo la Nkenge mkoani Kagera, wakati wa hafla ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Elimu jimboni humo kwa ajili ya kununulia madawati ili kusadia shule za msingi za jimbo hilo. Harambee hiyo, ilifanyika jijini Dar es Salaam, jana usiku. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumta Mshana na (kushoto kwa Makamu) ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanal Fabian Masawe. (Picha zote na OMR)
Wasanii wa ngoma ya asili ya Kabila la Wahaya wakitumbuiza kwenye harambe hiyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Elimu Jimbo la Nkenge kununua madawati ili kusadia shule za msingi za
Jimbo hilo. Harambee hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, jana usiku. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumta Mshana na (kushoto kwa Makamu) ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanal Fabian Masawe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanal Fabian Masawe, wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Elimu Jimbo la Nkenge kununua madawati ili kusadia shule za msingi za Jimbo hilo. Harambee hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Sehemu ya wageni waalikwa kutoka mkoa wa Kagera waliohudhuria harambee hiyo.
Meza Kuu wakijumuika kuimba wimbo maalumu wa mkoa wa Kagera wa kuhamasisha maendeleo ya mkoa huo, hususan katika suala la elimu na kuchangia madawati.
Sehemu ya wageni waalikwa kutoka mkoa wa Kagera waliohudhuria harambee hiyo.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif awa mgeni rasmi mahafali ya Shule ya Daarul Arqam, amuhani Makamu Mwenyekiti wa CCM, Phillip Mangula

Baadhi ya wahitimu wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari ya Daarul Arqam, iliyoko Kigamboni, Dar es Salaam, wakiwa katika mahafali yao hayo leo. (Picha zote na Salmin Said, OMKR)
Baadhi ya wahitimu wa Shule ya Maandalizi ya Daarul Arqam iliyoko Kigamboni, Dar es Salaam, wakiwa katika mahafali yao hayo. 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Daarul Arqam iliyoko
Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika ya pamoja na uongozi wa Shule ya Sekondari ya Daarul Arqam pamoja na baadhi ya wahitimu wa shule hiyo, iliyoko Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akitia saini kitabu cha maombolezo, kufuatia kifo cha mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bara), Peter Philip Mangula.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akimpa pole Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alipofika nyumbani kwake Ostabey Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha mtoto wake, Peter Philip Mangula.
 
 
Na Hassan Hamad, OMKR
 
Dar es Salaam  
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema shule binafsi zina mchango mkubwa katika maendeleo ya elimu nchini.

Mhe. Maalim Seif ametoa kauli hiyo katika sherehe za mahafali ya kumi na moja ya shule ya Kiislamu ya Daarul Arqam, iliyoko Kigamboni Dar es Salaam.

Amesema mchango unaotolewa na skuli binafsi unapaswa kuungwa mkono, ili kuhakikisha kuwa sekta ya elimu inapata maendeleo makubwa mijini na vijijini.

Ameipongeza skuli hiyo kwa kuwa na malengo ya kutaka kuiendeleza hadi kufikia Chuo Kikuu, hatua ambayo itasaidia kunyanyua kiwango cha elimu nchini, sambamba na kuwaondoshea usumbufu wanafunzi wa maeneo hayo.

Amefahamisha kuwa katika kuimarisha ubora wa elimu, ni vyema mtaala wa elimu ukaangaliwa upya, ili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu itayowasaidia baada ya kuhitimu masomo yao.

Amesema mtaala wa sasa bado haujatoa kipaumbele kwa mafunzo ya amali, na kwamba wakati umefika kufikiria kwa umakini jambo hilo, ili wanafunzi wanaohitimu waweze kujiajiri wenyeye, na kuacha kutegemea ajira kutoka serikalini ambayo haitoweza kuajiri wahitimu wote.

Amewashauri kutilia mkazo masomo ya sayansi na mawasiliano ya habari (ICT), ili kwenda sambamba na mahitaji ya wakati huu wa sayansi na teknolojia, na kuweza kukabiliana na soko la ajira.

Katika hatua nyengine Mhe. Maalim Seif amewakumbusha wahitimu hao kuendeleza maadili mema waliyoyapata shuleni hapo, na kujiepusha na vitendo viovu vikiwemo utumiaji wa dawa za kulevya.

Pia ametumia fursa hiyo kuuasa uongozi wa skuli hiyo kutilia mkazo elimu ya uhifadhi wa mazingira, ili kudhibiti uharibifu wa mazingira ambao umekuwa miongoni mwa changamoto kubwa za dunia.

Aidha amewataka waislamu wenye uwezo kuwekeza katika elimu, ili kuwaendeleza vijana  kitaaluma na kuwajengea misingi imara ya maisha yao ya baadae.

Amewashauri wazazi na walezi kuwaondoshea vikwazo watoto wa kike vikiwemo biashara na kuwaozesha waume wakiwa wadogo, ili kuwaandaa vyema kukabiliana na hali ya maisha.

Mapema Maalim Seif aliweka jiwe la msingi katika jengo la Maabara ya shule hiyo na kuahidi kuchangia mifuko 50 ya saruji ili kuendeleza ujenzi huo.

Kwa upande wake Meneja wa Shule hiyo,  Bw. Abdul Aziz Shawwal Msami, amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais kwa juhudi anazozichukua katika kusogeza mbele maendeleo ya elimu nchini.

Ameiomba Serikali kuangalia namna ya kupunguza kodi katika uendeshaji wa taasisi binafsi za elimu, ili kuziwesha kutimiza malengo waliyojiwekea.

Shule hiyo, yenye kitengo cha Maandalizi, Msingi na Sekondari, pamoja na mambo mengine imekuwa ikifundisha lugha za Kigeni, Quran, maadili ya Kiislamu na michezo.

Rais wa Zanzibar, Dk. Shein akutana na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Daniel Ole Njooley, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo, baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,
Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana  na  Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Daniel Ole Njooley,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  leo, baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo.
 
 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo, amekutana na Balozi Mpya wa Tanzania nchini Nigeria Balozi Daniel Ole Njoolay.
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ofisini kwake Ikulu Dk. Shein alimueleza Balozi Njoolay kuwa watanzania wana matumaini makubwa kuona uhusiano kati ya Tanzania na Nigeria unaimarika kwa kupanua maeneo ya ushirikiano hasa kwa kuzingatia Sera ya Nje ya Tanzania ya Diplomasia ya Kiuchumi.

Alisema kuwa uhusiano wa Tanzania na Nigeria umekuwa wa miaka mingi na wananchi wa nchi mbili hizo wamekuwa karibu kwa kushirikiana katika nyanja mbalimbali hivyo wakati akiiwakilisha Tanzania nchini humo jukumu kubwa kuangalia namna bora ya kuongeza ushirikiano huo na kuwakweka watu wa nchi hizo karibu zaidi.

Dk. Shein alimueleza Balozi Njoolay kuwa kuiwakilisha Tanzania nchini Nigeria ambako kunajumuisha kuiwakilisha nchi yetu katika nchi nyingi za ukanda wa Afrika Magharibi ikiwemo Ghana kunampa fursa kuitangaza Tanzania katika eneo hilo kubwa na muhimu la Afrika.

Alimtaka Balozi Njoolay kutumia fursa hiyo kukaribisha wawekezaji kutoka Nigeria kwa kuwa katika nchi hiyo wapo wananchi wenye uwezo mkubwa wa kuwekeza katika sekta mbalimbali na baadhi yao wameanza kufanya hivyo huko Tanzania Bara.
Alifafanua kuwa Zanzibar hivi sasa inafanya jitihada za kuvutia wawekezaji katika uvuvi wa bahari kuu na kwa kuwa wako wawekezaji wakubwa wa viwanda vya samaki nchini Nigeria alimtaka Balozi kutumia fursa hiyo kuwahamasisha kuwekeza humu nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein aliyataja maeneo mengine ya ushirikiano na Nigeria kuwa ni ushirikiano katika masuala ya utafiti wa mazao ya kilimo kikiwemo kilimo cha muhogo ambacho Nigeria imepiga hatua kubwa katika utafiti na usarifu wa matumizi ya muhogo.
Eneo jingine alilitaja kuwa ni elimu ambapo mbali ya ushirikiano uliopo wa kusaidia walimu wa sekondari kwa masomo ya sayansi na Hisabati Zanzibar lakini alihimiza ushirikiano katika taasisi za elimu ya juu hasa katika masuala ya utafiti ili kukiongezea uwezo Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar- SUZA.
Alieleza kuwa angependa ushirikiano kama huo katika sekta ya elimu ungefufuliwa tena na nchi ya Ghana ambayo huko nyuma ilikuwa ikishirikiana kwa karibu na Zanzibar.

Dk. Shein aliongeza kuwa ushirikiano katika ufundishaji wa lugha ya Kiswahili ni suala jingine ambalo angependa Balozi Njoolay alisimamie kwa kuwa wananchi wengi wa Nigeria wanapenda kujifunza lugha hiyo na uzoefu unaonyesha hivyo kwa miaka mingi sasa.
Kwa upande wake Balozi Njoolay alimuhakikishia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kuwa amejiandaa vyema katika kutekeleza kwa vitendo Sera ya Mambo ya Nje ya Nchi ambayo inahimiza diplomasia ya Uchumi. 
Alieleza kuwa ametumia ujio wake hapa Zanzibar kufanya mazungumzo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali na pia ametembelea Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar-ZIPA ambapo mbali ya kufanya mazungumzo na uongozi wa mamlaka hiyo lakini pia amekabidhiwa vipeperushi vya kuitangaza Zanzibar kwa wawekezaji.
Baada ya mazungu mzo hayo na Mheshimiwa Rais, Balozi Daniel Ole Njoolay kwa ushauri wa Rais alitembelea kituo cha utafiti wa kilimo cha Kizimbani ili kupata taarifa zaidi kuhusu kituo hicho na namna kinavyoweza kushirikiana na taasisi za utafiti za Nigeria.

Ndege iliyopotea Msumbiji yapatikana

 


Ndege hiyo ilitakiwa kutua kwenye uwanja wa Luanda.

Ndege iliyopotea tangu jana baada ya kuruka kwenye anga ya Msumbuji kuelekea Angola ikiwa na watu 34 imepatikana katika mbuga za wanyama Kaskazini Magharibi mwa Namibia.
 
Msemaji wa Polisi nchini Namibia amesema ndege hiyo iliteketea yote huku kukiwa hakuna aliyenusurika.

 
Ndege hiyo namba TM470 iliondoka Maputo nchini msumbiji tangu siku ya ijumaa na ilikuwa ikielekea Luanda chini Angola.
mabaki ya ndege hiyo iliyoteketea kabisa yamepatika kwenye mbuga ya wanyama Bwabwaata karibu na mpaka wa Angola na Botswana.
"Ndege imeteketea yote yamebaki majivu tu hakuna hata mtu mmoja aliyenusurika," Naibu Kamishna wa Polisi nchini Namibia Willy Bampton amenukuliwa na shirika la habari la Reuters.
Inaelezwa kuwa masiliano ya mwisho na ndege hiyo ilikuwa ni wakati ilipofika kaskazini mwa Namibia.

Kwa mujibvu wa shirika la ndege la Msumbiji abiria walipanda ndege hiyo ni raia 10 wa Msumbiji, Angola 9, Wareno 5, Mfaransa 1 , Mbrazili 1 na Mchina 1.

Jopo la watu waliokuwa akifanya kazi ya kuitafuta ndege hiyo walishindwa kuingia kwenye mbuga hiyo hapo jana baada ya mvua kubwa kunyesha kufanya barabara kushindwa kupitika.

Abiria 28 na wafanyakazi sita walikuwa kwenye ndege hiyo wakitoka Maputo kuelekea Luanda.

'It was the last thing the marriage needed': Rachel Riley's 'friendship with Strictly partner Pasha Kovalev may have contributed to break-up of relationship'

 

By Rebecca Davison
 It was Rachel Riley's friendship with her former Strictly Come Dancing partner that allegedly contributed to the collapse of her 16-month marriage to Jamie Gilbert.
The amount of time the Countdown beauty, 27, was spending with Pasha Kovalev had left her husband feeling jealous, The Sun reported.
'Rachel and Pasha were clearly very close. The amount of time she spent with him was too much for Jamie,' according to a source.
Strictly friendship: Rachel Riley and Pasha Kovalev are reported to have developed a close friendship while appearing on the BBC1 show
Strictly friendship: Rachel Riley and Pasha Kovalev are reported to have developed a close friendship while appearing on the BBC1 show
'It was the last thing the marriage needed. There had been difficulties and her spending lots of social time with Pasha.'
A friend of the 31-year-old's said he wanted their relationship to work out.
It was reported that the TV star had danced for Professor Stephen Hawking at a private bash at comedian Jimmy Carr's home with Pasha, 33, two weeks ago.
'Final straw': The pair are thought to have spent a lot of time together, which left her husband Jamie Gilbert feeling jealous
'Final straw': The pair are thought to have spent a lot of time together, which left her husband Jamie Gilbert feeling jealous
'Difficulties': A spokesman for Rachel and university sweetheart Jamie has confirmed their split
'Difficulties': A spokesman for Rachel and university sweetheart Jamie has confirmed their split
She was rehearsing with him when Jimmy messaged her with the idea, before they attended together and sat drinking tequila.
The presenter is said to have developed a friendship with Pasha during her time on the popular BBC1 show, while friends have suggested her marriage to the former public schoolboy began faltering months ago.
Her hectic work schedule is believed to have triggered problems, with James said to be increasingly frustrated at the long periods of time they spent apart.
However, there is no suggestion anyone else is involved in Rachel’s decision to end her marriage less than a month after being voted off the dance show. 
 
 
Countdown's maths genius Rachel is the latest in a long line of celebrities and dancers to fall foul of the curse of Strictly Come Dancing
Countdown's maths genius Rachel is the latest in a long line of celebrities and dancers to fall foul of the curse of Strictly Come Dancing
16 months ago: The pair married last year having met at Oxford University. The ceremony was publicised in Hello! magazineMiss Riley and Mr Gilbert married in August last year, having met at Oxford University. The ceremony was publicised in Hello! magazine
16 months ago: The pair married last year having met at Oxford University. The ceremony was publicised in Hello! magazine
Having replaced Carol Vorderman on the Channel 4 quiz show four years ago, Miss Riley spends much of her time filming in Manchester.
She also travels to Birmingham to film Channel 5’s The Gadget Show and spent weeks in exhausting rehearsals in London for Strictly.
A spokesman for the star, who was voted off in week five, confirmed the split. A friend of Mr Gilbert, who works for his father’s computer firm PowerDesk, said he had been reduced to the role of house husband and was frequently alone at home in Essex looking after their cats Rafa, Beasty and Becks, which they adopted from a rescue centre and to which he is allergic.
Yesterday, sources on the dance show said: ‘When she [Rachel] was on the show there were long periods when she did not see her husband. She was pictured without her wedding ring but it was because she was in training.’
Times are changing: The star spends a lot of time in Manchester filming for Countdown
Times are changing: The star spends a lot of time in Manchester filming for Countdown
Screen star: Prior to Strictly, Rachel was most famous for her role as the maths whizz on Countdown
Screen star: Prior to Strictly, Rachel was most famous for her role as the maths whizz on Countdown
 
Pasha has previously talked about the behind-the-scenes romances on the show.
He said: ‘When you put any two young people together and they are coming out and dancing these romantic or sexy routines, people are going to read more into it. It’s not always without foundation either.
‘There are lots of celebrities and pro dancers on Strictly that have gone on to become girl and boyfriend. Trying to work out which couples will emerge before it’s officially announced is all part of the theatre of such television shows.’
The couple married in August last year, having met at Oxford University. The ceremony was publicised in Hello! magazine, after she announced her engagement on Countdown in 2011.
Back in the day: The couple were pictured having lunch at a cafe in Central London in February 2011
Back in the day: The couple were pictured having lunch at a cafe in Central London in February 2011
In an interview last year, Rachel complained about her husband’s snoring, saying she had to wear ear plugs.
She said: ‘When we first got together Jamie didn’t snore but now it’s getting worse. He’s turning into his dad as the sound is more industrial.’
Their home is near her parents in Southend, leaving her husband with a long commute to his father’s firm in Sevenoaks, Kent.
The friend of Jamie said: ‘I know that Jamie was frustrated that he hardly saw Rachel and she was constantly away filming. I can only imagine that this grew worse during Strictly where he was left at home to look after the cats. I know he hasn’t enjoyed living in Essex and being so far from his friends.’
Jamie, who attended Charterhouse School, grew up at his family’s six-bedroom mansion in Godalming, Surrey, which was sold to footballer Ashley Cole and his then wife Cheryl for £3.55million in 2007. 
His father David has a collection of Lamborghini sports cars and even insured one for Jamie while he was at Oriel College, Oxford.
When questioned about the end of his daughter’s marriage yesterday, Christopher Riley declined to comment, saying: ‘Jamie has asked us not to say anything so I can’t comment.’
Dance diva: Rachel left Strictly after week six
Dance diva: Rachel left Strictly after week six

Son who was supposed to go to Glasgow helicopter crash pub with his father fears his parent is dead after witnesses say the police chopper came down where the 59-year-old was sitting

 

  • A police officer at the scene said there were 'a few confirmed deaths'
  • Police have confirmed one fatality and said that number is expected to rise
  • Police Scotland say that 32 people have been taken to hospital
  • Two police officers and a civilian pilot were believed to be on board
  • Around 125 people are thought to have been in the pub at the time
  • First Minister Alex Salmond described it as a 'black day' for Scotland
  • Eye witness said it looked as though the propellers weren't working
  • They said the helicopter dropped from the sky 'like a stone' at 10.25pm
  • Bystanders created a human chain to carry the wounded from the venue
  • Jim Murphy MP said it was a 'horrible scene' surrounded by ambulances
  • Police have set up a telephone number for anyone concerned about relatives
  • Scottish Cup football matches will hold a minutes silence before kick off
By Wills Robinson, Bill Caven, Victoria Allen, Jim Norton and Steve Nolan
A man has told how he fears his father may have been killed when a police helicopter crashed into a packed Glasgow pub last night.
John McGarrigle said that his father, also called John, was at the pub when the aircraft crash landed and that eyewitnesses told him that the aircraft came through the roof where he had been sitting.
John Jnr, who was outside the cordoned off pub today, told ITV News that he was supposed to go to the Clutha Bar, close to the banks of the River Clyde, with the 59-year-old but did not.
He told reporters: 'I think he was in there when it crashed. I've checked every hospital and there's no sign of him.'
At least six people are feared to have died and more than 30 people were injured in the crash at the iconic Glasgow bar.
John McGarrigle tells reporters at the scene of the crash today that he fears his father may have been killed in the crash
John McGarrigle tells reporters at the scene of the crash today that he fears his father may have been killed in the crash
Mr McGarrigle, 38, shows reporters a mobile phone picture of his father. Eyewitnesses have told him that the aircraft came down where his father was sitting
Mr McGarrigle, 38, shows reporters a mobile phone picture of his father. Eyewitnesses have told him that the aircraft came down where his father was sitting
Mr McGarrigle showed reporters a picture of him and his father, also called John
Mr McGarrigle showed reporters a picture of him and his father, also called John
At least six people have been killed and more than 30 injured when a police helicopter crashed into a busy Glasgow city centre pub
At least six people have reportedly been killed and more than 30 injured when a police helicopter crashed into a busy Glasgow city centre pub
Rescue workers cover the wreckage of a police helicopter which crashed onto the roof of the Clutha Vaults pub in Glasgow last night killing 'at least six people'
Rescue workers cover the wreckage of a police helicopter which crashed onto the roof of the Clutha Vaults pub in Glasgow last night killing 'at least six people'
More than 30 people were injured in the incident at The Clutha pub in the city centre at around 10.25pm last night
More than 30 people were injured in the incident at The Clutha pub in the city centre at around 10.25pm last night 
 
Emergency services had to drag customers out of the premises after the aircraft fell from the sky 'like a stone' when its rotor blades apparently stopped spinning in mid air.
According to Sky News reports, sources have said that six people were killed in the crash.
Police Scotland have confirmed that 32 people have been taken to hospital to treatment with staff at Glasgow Royal Infirmary describing some of the injuries as 'very serious'.
More... Mr McGarrigle said that a friend called Fiona told him what had happened inside the pub and that he believes his father's body is still inside the building.
He said: 'The realisation, and just a deep instinct ... kicked in right away as soon as I heard there was an accident at Clutha. I just knew something bad had happened to him.
'When I came round and seen where the position of the helicopter (was) that was when I knew, because he sat in that spot all the time, where the helicopter hit.
Paul Watt, a regular at the Clutha pub, is pictured in tears at the police cordon this morning
Paul Watt, a regular at the Clutha pub, is pictured in tears at the police cordon this morning
One of the wheels of the helicopter and part of the 'police' sign on the aircraft are visible as rescue crews work on the scene this morning
One of the wheels of the helicopter and part of the 'police' sign on the aircraft are visible as rescue crews work on the scene this morning
Police have so far confirmed that one person died in the incident but added that they expect that number to rise
Police have so far confirmed that one person died in the incident but added that they expect that number to rise
Police officers speak to to two women at a hotel opposite the crash site
Police officers speak to to two women at a hotel opposite the crash site
'I am still shaking.'
Mr McGarrigle said he unsuccessfully tried to get information from the accident helpline set up for those affected.
He said: 'I said my dad is dead, probably lying underneath that helicopter.
'I could walk in there and pinpoint him myself in the rubble.'
Around 125 people were thought to have been in the pub at the time of the crash watching a ska band play.
In a Facebook post today, Esperanza, the band playing at the bar said that the incident seems 'horribly real'.
At a press conference this morning Chief Constable Sir Stephen House could only confirm that one person had died, but added that he expects the number of dead to rise.
Scottish First Minister Alex Salmond told reporters that today is a 'black day' for Scotland and paid tribute to the 'instinctive courage' of rescue crews and members of the public who helped the injured.
Fire crews who worked through the night to rescue those trapped inside are pictured at the scene of the crash this morning
Fire crews who worked through the night to rescue those trapped inside are pictured at the scene of the crash this morning
The propeller blades are visible on the top of the roof as firefighters use cherry pickers to examine the site
The propeller blades are visible on the top of the roof as firefighters use cherry pickers to examine the site
Firefighters try to access the pub in Glasgow where a helicopter crashed into a roof
Firefighters try to access the pub in Glasgow where a helicopter crashed into a roof
A firefighter is seen standing over a propeller blade which is sticking out of the roof of the pub
A firefighter is seen standing over a propeller blade which is sticking out of the roof of the pub
He said: 'Our condolences go to those who are bereaved and our solidarity is with those who were injured.
'This is a black day for Scotland, but it's also St Andrew's Day and a day that we can take pride and courage in how we respond to adversity and tragedy.'
According to reports the incident is being treated as 'no longer a rescue situation but a recovery one'.
But Sir Stephen House said that rescue crews are still attempting to make contact with anyone that might still be trapped inside the pub.
He told reporters gathered at the Police Scotland headquarters: 'It has been an emotional few hours but it's the job of everyone here to deal with it effectively.
'This is a very difficult and sensitive operation and the scene is a particularly challenging one.
'Given the damage caused and the nature of that damage, it will take some time to complete the search of the building.

'The safety of those conducting the operation is of the highest importance.'
Prime Minister David Cameron also sent his condolences to all those involved in the crash.
A damaged part of the helicopter lies next to an ambulance
A damaged part of the helicopter lies next to an ambulance
Scottish Fire and Rescue firefighters and USAR (Urban Search and Rescue) teams use ropes to stabilise a ladder as they stand on the roof of the pub
Scottish Fire and Rescue firefighters and USAR (Urban Search and Rescue) teams use ropes to stabilise a ladder as they stand on the roof of the pub
 
 
He added: 'I want to thank the emergency services who worked tirelessly throughout the night and I also want to pay tribute to the bravery of the ordinary Glaswegians who rushed to help.
'We have offered the Scottish Government our support in any way we can and we are all wishing a speedy recovery to those who are injured.'
Eyewitness Fraser Gibson, 34, who was in the pub with his brother to see his former band, said:
'Midway through their set it sounded like a giant explosion. The room was covered in dust.

'We didn’t know what had happened. We froze for a second; there was panic and then people trying to get out the door.'
Another witness said: ‘It was total bedlam.'
The aircraft, which had two police officers and a civilian pilot on board, hit The Clutha on Stockwell Street, which faces the River Clyde.
Witnesses said bystanders did not flee the scene and rushed to help by creating a human chain to lift the wounded from the pub to safety.
Emergency crews from across Scotland have joined the rescue effort with crews from Edinburgh, Dundee and Falkirk helping their Glaswegian colleagues.
People are rushed away from the scene to a nearby Holiday Inn for treatment
People are rushed away from the scene to a nearby Holiday Inn for treatment
The scene was cordoned off on Stockwell Street which is close to the River Clyde
The scene was cordoned off on Stockwell Street which is close to the River Clyde
Part of the aircraft with the letters 'C' and 'E' written on is seen sticking out of the roof of the pub
Part of the aircraft with the letters 'C' and 'E' written on is seen sticking out of the roof of the pub
A Twitter user takes to social media after hearing a crash in the city centre
A Twitter user takes to social media after hearing a crash in the city centre
Assistant Chief Officer Lewis Ramsay, of the Scottish Fire and Rescue Service, said it had been difficult to tell how many people were trapped inside.
He confirmed that the building was 'very unsafe' and that emergency services were working to make the structure safe.
He told reporters: 'It's a case of working hard within the building to try and determine how many casualties are there.
'We are determined that we are going to get the building stable and we will be in there to carry out those rescues.'
He added: 'There were a number of casualties removed earlier on at the start of the incident.
'They have been taken to hospital and other locations.'
He confirmed that 125 firefighters attended the scene with some working on the roof and others in the cellar of the pub.
Mr Ramsay praised the bravery of crews working at the scene.
Police have confirmed that the helicopter that crashed was a Eurocopter EC135 T2 similar to the one pictured
Police have confirmed that the helicopter that crashed was a Eurocopter EC135 T2 similar to the one pictured
The letters on the side of the aircraft indicate it could be a police helicopter which crashed into the roof of the pub
The letters on the side of the aircraft indicate it could be a police helicopter which crashed into the roof of the pub
Rescue workers examine the wreckage of a police helicopter
Rescue workers examine the wreckage of a police helicopter on the roof of the pub
Rescue workers attempt to secure the structure of the building and rescue those trapped inside
Rescue workers attempt to secure the structure of the building and rescue those trapped inside
Multiple police vans and ambulances block the street which is next to the River Clyde
Multiple police vans and ambulances block the street which is next to the River Clyde
Paramedics wait to treat the injured at the pub in Glasgow city centre last night
Paramedics wait to treat the injured at the pub in Glasgow city centre last night

He said: 'Without any thought to their own safety they have entered these premises to carry out a number of rescues, make contact with casualties and work in that environment for as long as it lasts.
'As long as there are rescues to be conducted we will be here to do that. We're here for as long as it takes.'
Reports last night said that dozens of people had been taken to a nearby Holiday Inn for treatment.
The injured have since been taken to three hospitals across Glasgow.
Police Scotland have a helipad two miles west of the venue, suggesting the pilot of the helicopter may have been heading towards there.
The aircraft involved was a Eurocopter EC135 T2 which is thought to have been in service since 2007.
It is believed that the helicopter replaced another aircraft that had served police in Glasgow since 2002.
That helicopter now serves as an air ambulance in England.
Police Scotland Deputy Chief Constable Rose Fitzpatrick said shortly after the crash: 'Firstly, my thoughts tonight are with those who have been affected by this terrible incident and those who have responded so professionally in such difficult circumstances.
'There were three people on board - two police officers and a civilian pilot. There were a number of customers inside the bar at the time.
'It is too early at this stage to provide any details around why the helicopter came down.
Wreckage of the police helicopter which crashed into the roof. Eye witnesses said the propellers did not seem to be working
Wreckage of the police helicopter which crashed into the roof. Eye witnesses said the propellers did not seem to be working
Strathclyde Fire and Rescue have said there are 15 engines at the site and a number of ambulances
Strathclyde Fire and Rescue have said there are 15 engines at the site and a number of ambulances
The emergency services over the roof of the pub, trying to get access to the venue
The emergency services over the roof of the pub, trying to get access to the venue 
 
THIRD SCOTTISH POLICE HELICOPTER TO CRASH IN 23 YEARS
Last night's crash is the third involving a police helicopter in Scotland in a little over two decades.
The last incident involving a Police Scotland helicopter happened in February 2002 when two officers and a civilian pilot miraculously survived after their aircraft crashed in farmer's fields near the village of Muirkirk, East Ayrshire.
The Eurocopter EC-135, similar to that which crashed in Glasgow last night, came down while searching woodland following reports that a child's cry had been heard.
In 1990, Sergeant Malcolm Herd died when a Bell Jet 206 helicopter crashed in bad weather at Eastwood Toll, East Renfrewshire, on the south side of Glasgow.
The Strathclyde Police helicopter he was travelling in hit the side of a block of flats and fell to the ground when it got caught in a snowstorm.
Last night's crash leaves Police Scotland without a force helicopter.
The aircraft involved was a twin-engined Eurocopter EC135 T2, a model which has been flying since 1996.
More than 1,000 have so far been manufactured.
They are widely used by police and ambulance services and for executive transport.
The T2 is a replacement for the T1 and went into production in August 2002.
She added: 'A full investigation has already begun and this is being carried out jointly between Police Scotland and the Air Accident Investigation Branch, under the direction of the Crown Office and Procurator Fiscal Service.'
Police have set up a telephone number for anyone concerned about relatives who may have been involved in the crash. The number is 0800 092 0410.
An eyewitness said the vehicle, which is operated by Bond Air Services, 'dropped like a stone' and another said the propellers appeared to have failed as it fell from the sky
Labour MP Jim Murphy, who was passing at the time and remained at the scene to help victims, said on Twitter: 'Terrible here in Glasgow, helicopter crashed into roof of pub.'
He also said there were 'multiple injuries' and people off the street had to help evacuate people.
Mr Murphy, the former Scotland Secretary, told the BBC: 'It's a well established Glasgow pub.
'It's a horrible horrible scene, but well done to the folk who were here.
'Everyone formed a chain of people from inside the pub to outside, and the fire brigade and everyone were here very quickly.'
The Police Roll of Honour Trust tweeted 'Our thoughts are with the crew of @policescotland SP99 helicopter that has crashed in Glasgow - hoping everyone is alright.'
The band who were playing, Esperanza, posted on Facebook that the musicians were all safe and well, but that they did not know the extent of others' injuries.
A further post on the band's site this morning added: 'Waking up and realising that it is all definitely horribly real. Despite the situation everyone was so helpful and caring of each other. 
Twitter picture of the Clutha Bar in Glasgow where a police helicopter has crashed into the roof
Twitter picture of the Clutha Bar in Glasgow where a police helicopter has crashed into the roof
The helicopter crashed into the venue near the river Clyde
The helicopter crashed into the venue near the river Clyde
The area surrounding the pub has been sealed off by a police cordon today as rescue teams continue to work at the site
The area surrounding the pub has been sealed off by a police cordon today as rescue teams continue to work at the site
The Clutha bar is pictured close to the banks of the River Clyde in Glasgow
The Clutha bar is pictured close to the banks of the River Clyde in Glasgow
'The police, ambulances, firefighters all did a stellar job and continue to do so today in extremely difficult conditions.'
'Our biggest concern is that everyone is found and can get the care and help they need.'
Grace McClean, who was inside the pub at the time of the crash, told the BBC: 'There was a ska band on in the pub at the back. It was fairly busy, we were having a nice time.
'There was a woosh noise and then there was a bang. There was what seemed like smoke, but the band carried on playing.
'The whole pub just filled with dust, you couldn't see anything and you couldn't breathe.
'We managed to get outside, we found our friends, people were coming out covered in blood.'
She said that she didn't think that the aircraft had crashed as there was no sound or explosion and speculated that the pilot had tried to land on the roof of the pub.
Claire Morris, who lives near the bar, told BBC News: 'We heard this bang. We didn't really know what had happened and then we heard people coming out and screaming.

ANCIENT LINKS TO THE RIVER, AND BILLY CONNOLLY'S FAVOURITE BOOZER: THE GLASGOW PUB TRAGICALLY STRUCK BY A POLICE HELICOPTER

The Clutha has played host to many famous customers, including Billy Connolly
The Clutha has played host to many famous customers, including Billy Connolly

The pub where a helicopter crashed last night has sat staunchly by the River Clyde since 1819, where it has helped foster Glasgow’s bustling music scene, and played host to the occasional celebrity.
Named after the Latin name for the River Clyde, which runs through Glasgow, it was twinned with the nearby Scotia Bar, the oldest drinking establishment in the city.
It was once the final stop for the Clutha boats, or ‘penny steamers’ that would take people to and from work in the Forth of Clyde, once the centre of the world’s shipbuilding industry.
More recently it has counted Glasgow residents including comedian Billy Connolly and socialist politician Tommy Sheridan as patrons.
It is now a noted live music venue, with performances most nights. Ska band Esperanza were playing on the night of the performance.
The pub even plays a bit part in the story of war hero Private Jimmy Stokes, who charged into an occupied German building on his own in 1945.
It was his last stop in his hometown before heading to war, where he bested the Germans but was fatally wounded and died overseas, being posthumously awarded the Victoria Cross.
Clutha was also a favoured haunt of Scottish socialist Tommy Sheridan, who led protests against the poll tax in 1989 and was jailed twice.
Although teetotal, he spent hours in Clutha drinking coffee before handing himself over an unpaid court fine for causing a disturbance at a protest.
Another teetoal star who can be spotted in the pub was Scottish comedian Billy Connolly. Although teetotal, Billy could once often be spotted in the establishment.
The entertainer, who now lives in the USA, was even linked to an alleged assault at the venue in 1997 in the wake of a footballing triumph by local team Celtic.
The comedian reportedly lashed out when a Press photographer tried to take a picture of him.
Police officers rush to set up a corden to keep onlookers away from the pub
Police officers rush to set up a cordon to keep onlookers away from the pub
The helicopter crashed into the roof of the pub on Stockewell Street in Glasgow
The helicopter crashed into the roof of the pub on Stockewell Street in Glasgow
'I wasn't sure whether there had been an explosion. My daughter said to me it was a helicopter that had hit the roof.'
Brendan Riordan, who was inside the pub at the time of the crash,said it had been 'packed'.
He said: 'It was quite hard to move in there with the amount of people enjoying the gig.'
Mr Riordan added that he heard 'a very loud bang' before a cloud of dust filled the pub.
'After I exited the pub I saw people coming out covered in blood and covered in dust,' he said.
'There were people quite desperate and just before I left the inside of the pub I noticed that the ceiling had fallen towards the bar.
'People were not aware that a helicopter had crash-landed on the pub.'
Another Twitter user said: 'This is unbelievable. Just spent 20 minutes pulling people out the bar. Apparently a helicopter crashed on the roof.'
Gordon Smart, a Scottish newspaper editor, told Sky News: 'I was in a car park and looked up and saw a helicopter which I think was a police helicopter.
Fire crews look through the door of the pub in an attempt to free anyone trapped inside
Fire crews look through the door of the pub in an attempt to free anyone trapped inside

'It was just such a surreal moment. It looked like it was dropping from a great height at a great speed.
'There was no fire ball and I did not hear an explosion. It fell like a stone. The engine seemed to be spluttering.'

He added that it seemed the propellers of the helicopter were not working as it fell from the sky.
Deputy First Minister of Scotland Nicola Sturgeon tweeted: 'Absolutely awful news about a helicopter crashing into the Clutha. All my thoughts are with everyone involved & the emergency services'.
The Rt Rev Lorna Hood, Moderator of the General Assembly of the Church of Scotland, said: 'We are all praying and concerned for those caught up in the tragic events of tonight in Glasgow.
'Already stories of those caught up in a tragedy forming a human chain to help those trapped show the spirit of the people of Glasgow and their care for one another.'
Councillor Gordon Matheson, leader of Glasgow City Council, said: 'This is a very testing time for Glasgow, but the city has responded with typical courage and compassion.
'My thoughts and prayers are with those who have been affected by this tragic incident and with the emergency services who are still working at the scene in incredibly challenging circumstances.
'I have been in contact with staff throughout the night as they have responded to support the public and emergency services.
'It is obviously a difficult time for everyone involved and the council will continue to offer any support it can in the coming hours and days.'

The Prime Minister takes to Twitter to say his thoughts are with those involved
The Prime Minister takes to Twitter to say his thoughts are with those involved
Labour leader Ed Miliband also took to Twitter to express his horror at the news
Labour leader Ed Miliband also took to Twitter to express his horror at the news

The Police Memorial Trust said their thoughts were with the crew on board
The Police Memorial Trust said their thoughts were with the crew on board
 
Vic Emery, chairman of the Scottish Police Authority, said: 'My thoughts, and those of all in the authority, are with the relatives of all those affected by this very serious incident.
'The police and all the emergency services are working hard to help everyone involved and I am very grateful to them for their professionalism and compassion.
'The SPA will offer all the support and assistance we can now and in the days ahead.'
Many people took to social media to say they were proud to be from the city after hearing reports that many people had run to the pub to help the injured.
Andy Dixon, an RAF technician, speculated that the pilot might have tried to land on the roof of the pub after the helicopter lost power.
He told the BBC: 'If the tail rota had failed it would have been a catastrophe. There could have been a power failure, but it would have been coming down and in control.
'It sounds like the pilot has come down at the roof and the rotor blades have spun down. At some point, the weight of the aircraft would have overcome the support of the roof.'
The British Airline Pilots Association raised concerns over helicopter safety in the wake of the crash.
A statement from the organisation said: 'Trends in helicopter safety is a matter of concern after a number of recent incidents including those in the North Sea.
'We hope that ongoing inquiries by the CAA and the House of Commons Transport Select Committee into helicopter safety will also have the opportunity to look into the circumstances around last night's incident too.'
The football world will pay tribute to those killed and injured in the crash by holding a minutes silence at every Scottish Cup game this afternoon.
Flags will fly at half-mast across Scotland this weekend as a mark of respect and St Andrew's Day events in Glasgow have been cancelled.
First Minister Alex Salmond has asked that saltire and Lion Rampant flags outside Scottish Government and Historic Scotland buildings fly at half-mast over the weekend.
The Scottish Trades Union Congress has called off its annual St Andrew's Day anti-racism march in the city but will go ahead with a planned indoor rally which will now include tributes to those affected by the accident.