Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wa marehemu Idd Salum wakielekea makaburini wakati wa mazishi yake Desemba
26 2017. (Picha zote kwa hisani ya Francis Dande)
Meya wa zamani wa Kinondoni, Alhaji Salum Londa akiwa
ni miongoni mwa waombolezaji.
Wanahabari pamoja na ndugu wakielekea makaburini.
Mwandishi wa habari wa Kituo cha Runinga cha ITV, Hemed
Kivuyo akielekea makaburini
Kuelekea makaburini.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa
na mwili wa marehemu Idd Salum wakati wakielekea
makaburini.
Safari ya mwisho hapa duniani ya marehemu Idd Salum.
Shughuli za mazishi zikiendelea.
Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakiwa makaburini.
Waombolezaji.
Mwili wa marehemu ukihifadhiwa kaburini.
Taratibu za mazishi zikiendelea.
Shughuli za mazishi zikiendelea
Waombolezaji wakishiriki maziko ya Idd

No comments:
Post a Comment