TANGAZO


Monday, September 4, 2017

Uchaguzi mpya wa urais Kenya kufanyika Oktoba 17

Wafula Chebukati

Haki miliki ya pichaAFP/GETY
Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini Kenya imetangaza kwamba uchaguzi mpya wa urais nchini humo utafanyika tarehe 17 Oktoba.
Mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati amesema uchaguzi huo utashirikisha wagombea wawili pekee wa urais, Rais Uhuru Kenyatta na waziri mkuu wa zamani Raila Odinga.

No comments:

Post a Comment