Mufti
wa Tanzania Shekhe Aboubakar Zubeir katika akizungumza wakati wa mazishi
hayo yaliyofanyika katika eneo la Kwamndolwa wilayani Korogwe Mkoani
Tanga.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martin Shigella akiwa
na mmoja kati ya waombolezaji katika msiba huo wakielekea
makaburini.
|
Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam kushoto
akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa
Mbaruku.
|
Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam akiondoka
katika eneo la makaburini.
|
Viongozi mbalimbali waliohudhuria
mazishi hayo kulia ni Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani
Shekilindi alimaarufu Bosnia,Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Alhaj Majid
Mwanga kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Mhandisi Robert Gabriel
wakiwa kwenye eneo la makaburini.
Mufti wa Tanzania
Shekhe Aboubakar Zubeir
kushoto akiwa na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku
wakati wa mazishi hayo jana.
|
Sehemu ya waombolezaji
katika msiba huo.
Shehe wa Mkoa wa Tanga,Juma
Luwuchu akiwa katika eneo la msiba jana kushoto ni Mbunge wa Jimbo la
Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia.
Mufti wa
Tanzania Shekhe Aboubakar Zubeir
akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi waliohudhuria
mazishi ya kaka yake kushoto ni
Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy
Mwalimu,Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandis Zena Saidi na Mbunge wa
Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda wa kwanza kulia ni Mbunge wa
Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu
Bosnia
Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu katika akiwa na
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) mbele Marry Chatanda na kushoto
ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS) Mhandisi Zena
Saidi. (Habari
kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

No comments:
Post a Comment