Mchezaji wa zamani wa Timu ya OKC Thunder ya ligi kuu ya Marekani (NBA) Mtanzania Hasheem Thabit kwa sasa amejiunga na Timu ya Yokohama B Corsairs ya Ligi kuu ya kikapu ya Japan, kwa dau ambalo mpaka sasa halijawekwa wazi, na tayari Thabit amekabidhiwa Jezi yenye namba 34 katika timu hiyo.
Ligi ya kikapu ya Japan B-League inatarajiwa kuanza kesho ijumaa wiki hii, na Hashee yupo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili.


Great post. I was checking constantly this blog and I am impressed! Extremely helpful info specially the last part I care for such information much. I was seeking this particular information for a very long time. Thank you and good luck.
ReplyDeleteOneDayTop has recently posted for NEWS : Leonardo DiCaprio promises $20m to handle environmental change'