Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene akiongea na waandishi wa
habari Tamko la utekelezaji na
ufatiliaji wa ugonjwa wa Kipindupindu katika Mkoa na Mamlaka za Serikali za
Mitaa Ofisini kwake, Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene akiambatana na Afisa Masoko Manispaa ya Mji wa Dodoma, Stephen Maufi katika ziara fupi ya kutembelea na kukagua usafi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene na Naibu Katibu Mkuu Afya , Dkt. Zainabu Chaula wakiangalia mrefeji wa maji machafu uliopo katika Soko la Mwembeni katika ziara fupi ya kutembelea na kukagua usafi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa Mhe. George
Simbachawene akifurahia
ubunifu wa uhifadhi wa mbogamboga na
matunda katika ziara fupi ya kutembelea na kukagua usafi katika maeneo mbalimbali ya mji wa
Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene akizungumza na mmoja wa wafanya biashara katika soko la Mwembeni, Bw. Mjahidina Hassani katika ziara fupi ya kutembelea na kukagua usafi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Afya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR- TAMISEMI), Dkt. Zainabu Chaula akisisitiza juu ya Uhamisho wa wafanya biashara ndogo ndogo kwenda Uwanja wa Barafu katika ziara fupi ya kutembelea na kukagua usafi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma.(Picha zote na TAMISEMI)
No comments:
Post a Comment