TANGAZO


Sunday, January 8, 2017

Mshambuliaji avurumisha lori kwa wanajeshi Israel

Picha zilionyesha gari lililokuwa na mashimo ya risasi kwenye kiooImage copyrightAFP
Image captionPicha zilionyesha gari lililokuwa na mashimo ya risasi kwenye kioo
Polisi wa Israil wanasema kuwa lori limevurumishwa mbele ya kundi la wanajeshi, mjini Jerusalem wakati wanajeshi hao wakiteremka kutoka basi.
Vyombo vya habari vya huko vinasema watu kama wane wameuwawa, na wengine kadha walijeruhiwa.
Inaarifiwa kuwa dereva wa lori alipigwa risasi na kuuwawa.
Polisi wanasema wanashuku kwamba lilikuwa shambulio la kigaidi.
Katika miezi 15 iliyopita, WaPalestina wamefanya mashambulio mengi dhidi ya Wa-Israil mara nyingi wakitumia visu.
Polisi wanasema kuwa dereva wa lori alivurumisha kwenda kwa wanajeshiImage copyrightREUTERS
Image captionPolisi wanasema kuwa dereva wa lori alivurumisha kwenda kwa wanajeshi
Polisi wanasema kuwa dereva wa lori alivurumisha kwenda kwa wanajeshiImage copyrightAFP
Image captionPolisi wanasema kuwa dereva wa lori alivurumisha kwenda kwa wanajeshi

No comments:

Post a Comment