Pages
▼
Saturday, September 10, 2016
KATIBU MKUU UTUMISHI AZINDUA BONANZA LA MICHEZO YA 34 YA SHIMIWI
Watumishi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiwa katika mistari tayari kwa kuanza mazoezi wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurence Ndumbaro (watatu kulia) akiongoza watumishi kutoka Wizara na Taasisi za Umma kufanya mazoezi wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
Watumishi wa Umma kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Umma wakihitimisha mazoezi ya kupasha mwili huku wakiongozwa na Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurence Ndumbaro (watatu kulia) wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurence Ndumbaro (watatu kulia) akiwaongoza watumishi kutoka Wizara na Taasisi za Umma kufanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
Baadhi ya Watumishi wa Umma kutoka Wizara na Taasisi wakifanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.












No comments:
Post a Comment