Ubao wa Matokeo ukionesha Simba 1 na Ndanda 1. hadi kinamalizika kipindi cha kwanza. Goli la Simba lilifungwa na mchezaji wao mpya, Laudit Mavugo.
Laudit Mavugo (kulia) akipiga shuti katikati ya wachezaji wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba akiudhibiti mpira huku akifuatwa na Bakari Mtama wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akijaribu kumpiga chenga Bakari Mtama wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akimpiga chenga Bakari Mtama wa Ndanda FC.
Mohamed Hussein wa Simba akimtoka Bakari Mtama wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akijaribu kumpiga chenga Hemedi Khoja wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akimpiga chenga Hemedi Khoja wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akimtoka Hemedi Khoja wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akiwatoka wachezaji wa Ndanda FC.
Jamal Mnyate wa Simba (kulia), akimtoka Hemedi Khoja wa Ndanda FC.
Hemedi Khoja wa Ndanda FC, akimkata kwanja Jamal Mnyate wa Simba, wakati akimtoka kuelekea golini kwa timu hiyo. .
Fredric Blagnon wa Simba akishangilia bao la pili, aliloifungia timu yake akiwa na mwenzake, Laudit Mavugo.
Fredric Blagnon (kulia) wa Simba akishangilia bao la pili na wenzake, aliloifungia timu yake hiyo.
Laudit Mavugo. akimtoka Forahim Isihaka wa Ndanda FC baada ya kumpiga chenga, huku akichanja mbuga kuelekea golini kwa timu hiyo.
Shiza Kichuya wa Simba akishangilia bao la tatu aliloifungia timu yake hiyo katika mchezo huo.
Shiza Kichuya (kushoto) na Laudit Mavugo wa Simba wakishangilia bao la tatu, aliloifungia timu yake hiyo katika mchezo huo.
Hadi mwisho, Ubao wa matokeo ukionesha Simba mabao 3 na Ndanda FC bao 1.

No comments:
Post a Comment