Pages

Thursday, July 28, 2016

Johanna Konta asonga mbele Rogers Cup

Image copyrightAP
Mcheza Tenisi nambari moja kwa Uingereza Johanna Konta ameifikia hatua ya tatu ya Rogers Cup kwa kumchapa Mmarekani Vania King.
Mwana dada huyo amefikia hatua hiyo kwa ushindi wa 7-5 6-1 dhidi ya King.
Johanna Konta ambaye katika uchezaji Duniani yuko kwenye nafasi ya 14, katika hatua inayofuata atakutana na Mmarekani Varvara Lepchenko

No comments:

Post a Comment