Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, James Kajugusi
(katikati) akipata ufafanuzi juu ya matumizi ya jiko linalotumia nishati ya jua
toka kwa Meneja wa Tanzania Agriculture Productivity Programme Calvin Peter Ndumwa (Kulia)
katika ufunguzi mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana kushoto ni Mkurugenzi
Uhamasishaji Idara ya Vijana Esther Riwa.
|
No comments:
Post a Comment