Tuesday, March 15, 2016
Semina ya Maofisa Habari wa Serikali Mjini Morogoro
Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo akiwafunza Maofisa habari na mawasiliano wa Serikali kuhusu jinsi gani ya kutoa huduma nzuri kwa wateja wao, wanapokuwa katika vituo vyao vya kazi.
Baadhi ya Maofisa habari na Mawasiliano wa Serikali, wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikitolewa katika semina hiyo.
Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo (kulia) akigawa moja ya DVD kwa afisa habari wa TFDA Bi. Gaudensia Simwanza kwa ajili ya kumsaidia katika utendaji wa kazi yake.DVD izo zina mafunzo mbalimbali yanayousu kumhudumia vyema mteja.
Mtaalamu wa masuala ya Itifaki Balozi Chilambo (aliyesimama) akitoa mada kuhusu itifaki kwa maafisa mawasiliano na habari wa Serikali watakapokuwa katika majukumu ya kiserikali.
Afisa Habari wa jiji la Mwanza Bw.Kaaya Elirehema Mosses akichangia jambo wakati wa kikao kazi cha maafisa habari wa serikali kinachofanyika jijini mkoani Morogoro.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment