Kijana wa Kitanzania Joseph Stanford ambaye
ametembea kwa miguu kutoka Mwanza hadi jijini Dar es Salaam akiwaonyesha
waandishi wa habari hawapo pichani mahali alipoanzia kutembea kwa mguu kwa
ajili ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli kwa kazi yake nzuri kwa wananchi. (Picha
zote na Ally Daud- Maelezo)

No comments:
Post a Comment