Baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania
(TANROADS) wakifuatilia taarifa toka kwa Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patrick
Mfugale wakati alipopata ugeni wa Naibu wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani katika Makao Makuu ya ofisi hizo Jijini Dar es
Salaam. (Picha na TANROADS)
No comments:
Post a Comment